Success, we'll get back to you
Back to news

Tuzo ya udhamini wa Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam.

SHARE

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi (kulia), akimkabidhi tuzo, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Bw. Kaimu Mkeyenge, kwa kutambua mchango wa shirika hilo kudhamini Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam, wakati wa kilele cha Maonesho hayo Julai 13, 2024.

@2024

National Insurance Corporation of Tanzania Limited